Mtangazaji wa Radio nuru fm iliyopo mkoani Iringa ambayo masafa yake ni 93.5 fm, Ametimiza mwaka mmoja tokea nalipo anza kufanya kazi Nuru fm ni mdau mkubwa wa muziki wa nyanda za juu kusini ususani mkoa wa iringa, amekua akiwasaidia wasanii kwa kuendesha shoo ambazo zinakua zinahusisha muziki wa mkoa wa iringa na maeneo ya jirani pia hushilikiana na wadau wengine katika kusapoti muziki wa iringa, moja kati ya show ambazo hufanya ni KUTOKA HOME hii show huluka kila siku za jumapili, licha ya kua ni mtangazaji wa Nuru fm uyu jamaa hushilikiana na waandishi wa mtandao huu wa www.vunja.blogspot.com kwa kulipoti habari za kiburudani ambazo zinatokea mkoani iringa.....
KUNABAADHI YA WATU AMBAO ANASHILIKIANA NAO KATIKA KAZI PALE NURU FM, AMEWAPA SHUKRANI ZA KUTOSHA KUITIA UKURASA WAKE WA FACEBOOK, SOMA HAPO CHINI ALICHOKIANDIKA
Nije
Niaje Watu Wangu wa Damu Leo Natimiza Mwaka Moja Kufanya Kazi NURU FM
93.5 na Mshukuru Mungu Pia Namshuru sana tena sana Bosi wangu VICTOR
CHAKUDIKA na STAFF Wote wa NURU FM Kwa Kunipa Ushirikiano .....Nitaanza
na VICTOR CHAKUDIKA, FASAIL DJ MAN SIMPLE, BEN MUSHIRI, GERARD
MALEKELA, FARAHAN HUSEIN, SHADRACK MWANSASU, GRACE MICHAEL , TERESIA
ALEX, YUSTA MSOWOYA, VICTOR MEENA, FRIDA MAGANGA,
ZAKAT ABUBAKARI, MONICA KINYAMI, JUMANNE JUMA, FAAD ZE UTAMU, TYSON
BENJAMIN TAI C, ABAS ALLY MLYUKA, PAULINA KUYE, ASHURA GODWIN, DENICY
MKAKALA, KIJICHO, PATEL,.........Na washuru Wadau wangu wote Ambao wapo
Nyuma Yangu Kwa Kunisapoti Kwa Kila Kitu Kama Brothers wangu DAMIAN
DAMPURATION, RENATUS BIZZO KILUVIA "KIJA" SAGIN MAJURA, MICHAEL LUKINDO,
DJ SIMBA, KING DAVIE JONATHAN, DJ DUPPA, DJ PHILLY, KAYANDA MC,......Na
Wasikilizaji wangu Wote Wanaonisikiliza na Kuzielewa Freva Zangu
......MUNGU AWABARIKI WOTE Nilio wataja Hapo Juu na Ambao Sija wataja
...AMEN
No comments:
Post a Comment