Wednesday, September 26, 2012

HARAKATI ZA KUTOA SAPOTI KWA UP COMMING ARTIST MKAONI IRINGA....

katika muziki uaga kunakua na harakati tofauti ambazo wasanii hukutana nazo kama vile kubaniwa air time pia kuzulumiwa mshiko pale wanapo fanya show mbalimbali hapa nawazungumzia upcoming art katika mkoa wa iringa kumekua na wasanii kulalamika kwa kukosa sapoti katika muziki wanao ufanya imekua tofauti na zamani wapo baadhi ya watangazaji wanao sababisha kuushusha muziki wa iringa ambao wamekua wakipewa lawama na wasanii hao na hapa juzi kati msanii aitwaye man kichefu alitoa truck ambayo ilikua ikielezea baadhi ya prisenters wanaosababisha kuto thaminiwa wasanii wa iringa

truck hiyo ambayo inaitwa himaya ya mkwawa ilipelekea mpaka msanii huto kupigwa na mtangazaji wa kituo cha radio kilichopo mkoani iringa baada ya hapo ndipo wasanii wengi na watangazaji ambao wanapenda muziki wa iringa kuwa na mafanikio kwa wasanii kwa namna moja au nyingine  kupata hamasa ya kukemea kitendo hicho cha unyonyaji wa wasanii kwa kupigishwa show kwenye matamasha wanayo yaandaa hivyo moja kati ya watangazaji ambao wameamua kuupa promo muziki wa iringa anaitwa SELENGA KADUMA ambaye ni mtangazaji wa kituo cha radio country fm 88.5 iringa

ameamua kufungua group page kwenye mtandao wa facebook .....jina la hilo group ni Doll South Staminer Movement  ambapo pataku ni sehemu ya kupeana ideas tofauti nini kifanyike ili kuwapa promo ya nguvu upcoming artist wa iringa na mawazo yako yatafanyiwa kazi na wadau husika katika game hii...............posted by deejay jona

No comments: