Sunday, September 2, 2012

MARLAW ASHIDWA KABISA KUMPA MIMBA BESTA
Namkariri akisema “swala la mimi kumpatia mimba mke wangu au uzao wa familia yangu ni swala langu binafsi, sidhani kama ni swala la Baabkubwa, mi sijapenda alafu na dizaini walivyoelezea yani ile interview mimi ninavyozungumza yale sio maneno yangu”
Kwenye line nyingine amesisitiza kwamba “kama walinipigia simu basi ningependa kama wangeandika kile hasa ambacho hasa mimi nimekisema, nakumbuka walishawahi kunipigia simu lakini tukazungumza lakini mazungumzo hayakua vile jinsi ilivyokuja kuandikwa, yamebadilishwa”
“sitochukua hatua yoyote nataka tu wanipigie simu waniambie samahani, mtu ataenipigia simu anipigie tu tumalize tuongee tu yaishe, kama wangependa kuandika kwenye gazeti lijalo waandike kile nilikiongea”
Baada ya hayo nilipochek na Baabkubwa walikua kwenye kikao lakini wakasema time ikifika msemaji atazungumza.



No comments: