
I HATE PROMOTAZ WHO BLAME ARTISTES FOR THEIR AMATEURISM!!
THE NORWAY ONE IS ONE OF THEM HE GOES AHEAD ORGANISES A SHOW AND FAILS TO GET ME A VISA, what does he do?
HE CALLS ME A THIEF UPON HIS OWN FAILURE.
YOU CAN'T USE AMATEUR SKILLS PROFFESSIONALLY!
Get a life!
THE NORWAY ONE IS ONE OF THEM HE GOES AHEAD ORGANISES A SHOW AND FAILS TO GET ME A VISA, what does he do?
HE CALLS ME A THIEF UPON HIS OWN FAILURE.
YOU CAN'T USE AMATEUR SKILLS PROFFESSIONALLY!
Get a life!
DOGO SCOPI na SELENGA KADUMA pia DOGO MECK wakiwa katika pozi kubadilishana mawazo ya hapa na pale

Man Kichefu
Ndugu watanzania nimexkia mara nyingi redion
matangazo ya kuhamasisha kuupigia kura mlima kilimanjaro ili uingie
kwenye maajabu 7 ya africa. Swali ni je kuna umuhimu huo? Mi naona ule
mlima umejisheleza kwa sifa zake sasa bas m ningeshauri tupige kura ili
maajabu mengine nayo yaingie mfano: TZ n nchi pekee inayoweza kufaurisha
watoto kutoka primary kwenda secondary bila kujua kusoma wala kuandika
so haya sio maajabu? Hebu tulipigie na kura na hili ili kuiweka TZ
kwenye raman. Ni hayo tu.....posted by deejay jona
No comments:
Post a Comment