Man Kichefu
Wanawake
kwa ujumla, hapa namaanisha akina dada,akina mama na waxchana wote....
Hii tabia inanikera! Ni hivi.. Saiz
npo kwenye folen hospital hapa agha
khan kuna kina mama kama wawili wako kwenye hii foleni wapo vifua
wazi,matiti yote nje wananyonyesha! Akat kabla ya kujfungua mkigonga
macho au ukamgusa kifuani japo kwa bahati mbaya lazma upate vdonge
vyako. Leo imekuaje? Kwanin mnajishusha thaman mama zangu n suala la
ustaarabu tu! Kwa kweli nimekereka xna!!..................posted by deejay jona

No comments:
Post a Comment