
Video yake imeongozwa na Adam Juma kutoka Next Level,ndani ya video hii yupo pia mrembo Jokate ‘Jojo’ ambaye wanaonekana kwenye treni wakisafiri,hii ni remix iliyopigwa ki midundo ya mchiriku zaidi baada ya ile ya kwanza,humu kashirikishwa Msaga Sumu.
No comments:
Post a Comment