
wananchi hao walichukua udhibiti wa barabara kuu ya Iringa Morogoro kwa kuchoma matairi katikati ya barabara hali iliyotatiza shughuli za usafiri kwenye barabara hiyo.
Kulingana na taarifa kutoka eneo la tukio rapsha hizo zimejiri baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa mfanyabishara Mmoja ameshambuliwa hadi kufa na polisi.
Hata hivyo hapajawa na duru huru za taarifa kuthibitisha tukio hilo.
Katika tukio hilo inadaiwa kuwa askari mmoja amejeruhiwa.
Una maoni gani?
No comments:
Post a Comment