Saturday, February 21, 2015

Picha,Rapa Joh Makini akiwa studio na rapa KO Wa Afrika Kusini.

Rapa Joh Makini kutoka Tanzania ameonekana kwenye mazingira ya studio Huko South Afrika akiwa na rapa mkubwa wa nchi hio maarufu kama KO. KO nimsanii wa kundi la Teargas na imeonekana kuwa na uwezekano wa collabo kati yao.
IMG-20150221-WA0009
Joh Makini ameniambia “Ni mapema kusema chochote kuhusu kazi hii”
IMG-20150221-WA0010
Joh alikutana na mtangazaji wa MTV Base ‘Nomuzi Mabena’

jojooo

No comments: