Sunday, June 28, 2015

Nimerudi Shule Ndio Maana Nipo Kimya' Asema HAFSA KAZINJA >>>>>>>

Msanii wa Zouk nchini Tanzania Hafsa Kazinja aliyewahi kutamba sana na wimbo wake wa 'PRESSURE'aliyoshirikiana na BANANA ZORRO aliongea na Millard Ayo katika kipindi cha Amplifaya na kumueleza sababu zilizopelekea kuwa kimya kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva. “Of course nipo kimya kwenye maradio ila matamasha nafanya kama kawaida naweza nikawa kimya kwenye media lakini  'Nimerudi Shule Ndio Maana Nipo
Kimya' Asema HAFSA KAZINJA >>>>>>> Msanii wa Zouk nchini Tanzania Hafsa
Kazinja aliyewahi kutamba sana na wimbo
 wake wa 'PRESSURE'aliyoshirikiana na BANANA ZORRO aliongea na Millard Ayo katika kipindi cha
Amplifaya na kumueleza sababu zilizopelekea
 kuwa kimya kwenye tasnia ya muziki wa Bongo
Fleva. “Of course nipo kimya kwenye maradio ila
matamasha nafanya kama kawaida naweza
nikawa kimya kwenye media lakini kazi zangu
bado zinatambulika nje na ndani ya nchi kwa
hiyo bado nafanya, lakini kitu ambacho naweza
sema kwanini niko busy sasa hivi niliamua
kurudi shule kwahiyo nilirudi shule mwaka jana
kwa hiyo inataka moyo sana kuanza form one,
form two ni (QT) kwa hiyo mwaka jana Mungu
akanijalia nikafaulu masomo yangu ya form 1
b& 2 sasa hivi niko form 4 nasubiri nimalize
maana mtihani wa form 4 sio mchezo.” “Kwa
hiyo pamoja huku nasoma pia nina wimbo wangu
mpya siwezi kuuzungumzia ila bado upo katika
matayarisho yaani studio,” aliongezea.  By @sameerbrykazi zangu bado zinatambulika nje na ndani ya nchi kwa hiyo bado nafanya, lakini kitu ambacho naweza sema kwanini niko busy sasa hivi niliamua kurudi shule kwahiyo nilirudi shule mwaka jana kwa hiyo inataka moyo sana kuanza form one, form two ni (QT) kwa hiyo mwaka jana Mungu akanijalia nikafaulu masomo yangu ya form 1 b& 2 sasa hivi niko form 4 nasubiri nimalize maana mtihani wa form 4 sio mchezo.” “Kwa hiyo pamoja huku nasoma pia nina wimbo wangu mpya siwezi kuuzungumzia ila bado upo katika matayarisho yaani studio,” aliongezea.

No comments: