Wapenzi wanaounda kundi la Navykenzo
, Nahreal pamoja na Aika wameweka wazi mpango wao wa kufunga pingu za
maisha mbeleni. Akizungumza na Djjonamusic Ijumaa hii katika fainali za BSS,
wawili hao
walisema wana mpango huo japo hawajapanga ni lini. “Yeah ndoa
ipo, ipo kabisa, hatuwezi kusema sasa hivi lakini itafika tu muda mzuri
wa kufunga ndoa,” alisema Nahreel. Navy Kenzo walikuwa miongoni mwa
wasanii waliotumbuiza kwenye show fainali hizo.
No comments:
Post a Comment