
“Fikiria ambavyo kila mtu alimshambulia Michael Jackson na 2pac walivyokua hai, Sidhani kama nimeona mtu mwenye vipaji aliyepitia mambo mengi magumu akashinda na akanaendelea kujifunza kama Chris Brown” Ameandika Nick ambaye amedai mara nyingi watu huwa wanasubiri watu wakifa ndio wawape sifa zao.
No comments:
Post a Comment