Tuesday, September 20, 2016

Diamond Platnumz Exclusive Interview on 104.3 Kings fm Njombe sio ya kukosa hii

Imekua ni interview ya kwanza kuifanya mala tuu baada ya jana kuachia wimbo wake mpya ambao amemshirikisha kijana wake ambaye yupo katika rebo yake ya

WCB, Diamond kesho tarehe 20/09/2016 saa nne kamili usiku atasikika Live kupitia Redio Kings Fm iloyopo njombe kipindi
kiitwacho Fire Beatz Show inayopendwa zaidi nyanda za juu kusini mwa Tanzania ambayo pia waweza kuisikiliza hapa hapa kwa kubonyeza jina hapo juu kabisa jina lililoandikwa Kings fm.

No comments: