Friday, February 21, 2020

Marioo atoboa siri alichoambiwa na Diamond walipokutana Nigeria na kuhusu kusainiwa WCB – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mkali wa ngoma ya AYA @marioo_tz amefunguka kuhusu picha yake na @diamondplatnumz walipokutana nchini Nigeria.

@marioo_tz ameongeza kuwa hiyo picha ilizua gumzo sana kwa sababu hakuwa kuwa na picha akiwa na @diamondplatnumz Lakini pia walikutana wakali wawili yaani @diamondplatnumz na @marioo_tz
Pia @marioo_tz alieleza sababu za kufanya goma na @offcialcheed wa @kingsmusicrecords.

No comments: