Tuesday, September 25, 2012

IN CAMPUS (EA Radio) Topic ya leo 25-09-12: CHUO KIKUU BILA MKOPO..."MWANAFUNZI ANAKUMBWA NA YAPI"



Leo katika segment ya Incampus ya Power Jams kupitia East Africa Radio na mtangazaji Michael Lukindo, Side Mnyamwezi ambae anataraji kujiunga na masomo ya chuo kikuu 2013, pamoja na Deo wa kipindi cha Nirvana EATV ambae ni mwanafunzi wa chuo cha Tumaini tawi la Mikocheni wamefunguka.

Leo saa 3pm East Africa Radio.

No comments: