sikiliza truck mpya hapo chini ya diamondi na kiupande wangu sikutegemea kama truck itakua ya kawaida kiivi coz aliponipigia simu ili anitumie hii truck niikajua ni bonge moja la song lakini iko kawaida kwa jins truck hii ilivyo sishindwi kumuweka kwe
nye levo za akina man kichefu,collins mona,ibra,timy san na chagga bouy na wakamficha pia msanii CHAGGA BOUY soon truck yake mataanza kuiona kwenye mitandao tofauti ameludi kivingine kabixa iringa stay tune on country fm na nuru fm kwaajili ya utambulisho wa truck mpya ya chagga bouy siku ya j5 mchana...........
MAONI KUTOKA FB NA TEEN TZ KUHUSU HIYO TRUCK
Udj, uchambuz au uproduza so tuambie tujue....
Comment by laurent francis mmassy ON TEEN TZ
-
this track has resemblance to his hit track 'moyo wangu' on rhythm and tempo, despite the fact that my taste for bongo flavor 60% goes on a bit being patriotic but this guy is on the 40% side ..HE IS GOOD DONT SAY OTHERWISE he's just got that psychological touch to what really people want to do rather than they want to hear from a singer...good track..bravo!
-
Comment by filbert nyoni ON TEEN TZ
-
hamna ki2 hapoooooooooooooo
-
No comments:
Post a Comment