Friday, October 31, 2014

List ya wasanii tokea Dar watakaokamua kwenye Mtikisiko Mbeya siku ya kesho

Show inayoandaliwa na kituo cha Redio mkoani Iringa Ebony fm na hapo chini ni list ya wasanii watakaokinukisha kwenye steji ya Mbeya.

Barnaba


At

Izzo B

Khadija Kopa

Stamina
Stive r&b
Bizman

No comments: