Nature ambae ni mwanamuziki wa bongofleva toka Temeke alilonga hayo alipokuwa akifafanua jambo mbele ya waandishi na kutoa mfano wa msaada wa kijamii uliotolewa na kituo cha redio cha Ghetto fm kwa hospitali ya Temeke jijini Dar, kwamba mabo kama hayo ndo jamii inatakiwa kuyapa kipaumbele na sio bata na starehe zisizokuwa na msingi.
Mengi ya haya sikiliza Ghetto radio kupitia 94.5fm Dar au ingia online kupitia www.ghettoradio.co.tz upate utamu na wadau wa Jamvini mida ya tatu kamili asubuhi.
No comments:
Post a Comment