Ishue nzima Kuhusu Mdogo Wake Beyonce Kuolewa Na Huyu Jamaa
Taarifa mpya kuhusu Mdogo wa msanii wa Rnb Beyonce 'Solange Knowles' ni kwamba anakaribia kuolewa ndani siku chache zijazo na mpenzi wake wa muda mrefu Alen Ferguson mwenye miaka 51.
Hii itakuwa ndoa ya pili kwa Solange baada ya kuvunjika kwa ndoa yake ya kwanza na Daniel Smith.
Hizi Picha Zao Pamoja na Beyonce.
Sammisago.com ndio mtandao wako kwa habar
No comments:
Post a Comment