Kwenye hii fainali ambayo ilifanyika Jumamosi November 8 2014 Mtanzania Vanessa Mdee alimiliki stage akiwa na Burna Boy wa Nigeria, Joh Makini na Chidinma wa Nigeria, Diamond Platnumz na Yemi Alade wa Nigeria na Shaa ametokea kwenye single ya Wyclef Jean.
Shaa ndio Mtanzania pekee ambae hajaonekana kwenye hizo video 3 hapo juu, taarifa ikufikie kwamba yuko kwenye hii hapa chini akiwa na mkali Wyclef Jean.
Baada ya kutazama zote hizi nitaomba uniachie comment yako mtu wangu nini umekifurahia sana kwenye hizi video?
No comments:
Post a Comment