Wednesday, October 28, 2015

CHEGE atua South Africa kushoot video na JUSTIN CAMPOS Wa gorilla_films >>>>>>

 Msanii wa Bongo Flava Chege Chigunda amewasili nchini Afrika Kusini kwaajili ya maandalizi ya video yake mpya ya wimbo ‘Sweety Sweety’ aliyowashirikisha Runtown pamoja na Uhuru. Akizungumza na 
 
Djjonamusic blog akiwa nchini Afrika Kusini, Chege alisema kila kitu kinaenda sawa na muongozaji Justin campos kutoka kwa Gorilla Films ndio ataongoza video hiyo. “Ndio tupo kwenye maandalizi ya video niliyomshirikisha, Runtown na Uhuru,” Chege ameiambia Djjonamusic blog

No comments: