Thursday, September 6, 2012

Doreen Kabareebe: Model aliyepiga picha ya aibu na Chameleone Hivi karibuni tuliweka picha ya aibu inayomwonesha mrembo mmoja akiwa na Jose Chameleone wa Uganda kwenye pozi la zero distance. Picha hiyo inamwonesha msichana huyo akiwa hajavaa nguo ya ndani huku nguo ya juu aliyokuwa amevaa kuishia chini ya kiono na hivyo makalio yake kuonekana nje. Picha hiyo imezua mjadala mkubwa nchini humo kwa jinsi dada huyo alivyotia aibu. Well, msichana huyo ni supastaa nchini Uganda. Ni model mwenye miaka 22 aitwaye Doreen Kabareebe. Aliwahi kushiriki shindano la Miss Uganda 2010, Miss Inter-Universities na Miss Central University ambako alishinda taji kutoka Nkumba University. Ni mwanafunzi wa Public Administration katika chuo kikuu cha Nkumba mjini Entebbe. Ni msichana ambaye haipiti siku bila kuandikwa kwenye magazeti ya udaku ya nchini humo kwa tabia yake. Posted by Kabota at Saturday, September 01, 2012 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook 1 comment: Anonymous2 September 2012 16:30 Mmmh, Waafrika cjui ni wap tunaelekea sasa! Reply Load more... Newer Post Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) Local Time Translate Powered by Translate Ads Visitors Online clock counter Hits 148469 CONTACT US Mobile: +255716971409 +255713131073 E-mail: leotainment@gmail.com Skiliza Bongo Flavor Live Chat Followers Labels Mkasi Show Mkasi Show with Salama Jabir Contributors George Kabota Unaionaje Leotainment blog? My Blog & Website List Ay.co.tz BAHARI YA MAARIFA BONGO FILM DATA BASE Bongo Flava Music BONGO STAR LINK CHUMA BURUDANI Gonga Mx JIACHIE Lady Jay Dee Mkasi TV My club Tz NOLNIZ Free Rainbow Small Ani Cursors at www.totallyfreecursors.com Blog Archive September (21) August (186) July (206) June (141) May (192) April (8) World Time World time Celebs Weather Forecast See 10-Day Forecast




Hivi karibuni tuliweka picha ya aibu inayomwonesha mrembo mmoja akiwa na Jose Chameleone wa Uganda kwenye pozi la zero distance.

Picha hiyo inamwonesha msichana huyo akiwa hajavaa nguo ya ndani huku nguo ya juu aliyokuwa amevaa kuishia chini ya kiono na hivyo makalio yake kuonekana nje.

Picha hiyo imezua mjadala mkubwa nchini humo kwa jinsi dada huyo alivyotia aibu.

Well, msichana huyo ni supastaa nchini Uganda. Ni model mwenye miaka 22 aitwaye Doreen Kabareebe.


Aliwahi kushiriki shindano la Miss Uganda 2010, Miss Inter-Universities na Miss Central University ambako alishinda taji kutoka Nkumba University.


Ni mwanafunzi wa Public Administration katika chuo kikuu cha Nkumba mjini Entebbe.

Ni msichana ambaye haipiti siku bila kuandikwa kwenye magazeti ya udaku ya nchini humo kwa tabia yake.

No comments: