Akuffor amesema “sijui nini kilitokea kwa sababu hii ni mara yangu ya kwanza kwenye maisha yangu miaka 12 kwenye soka sijawahi kupatwa na kitu kama hiki, niko poa na niko tayari kwa game ijayo ya ngao ya jamii na ushindi utapatikana”
Kwenye line ya mwisho Akuffor amewaambia fans wa Simba kwamba wasiwe na wasiwasi na hadhani kama kilichotokea kwenye mechi ya Simba na Sofapaka kitajirudia.

No comments:
Post a Comment