
1 Mary J Blige.
Mary
J Blige ni moja ya wasanii wakubwa wa kike ambaye aliwahi kukiri
kubakwa akiwa mtoto.Mary J Blige mwenye umri wa takribani miaka 41 hivi
sasa, alisema kuwa akiwa na miaka 5 alibakwa na mmoja wa marafiki wa
familia.
Mary J.
Msanii
huyo wa kike mwenye tuzo 9 za Gramy alisema kuwa kitendo hicho
kilimuathiri nakumfanya akue akiwa anajutia, ajione hana thamani na
maumivu na hata kujiingiza katika mapenzi na wanaume tofauti tofauti na
madawa ya kulevya.Msanii huyu mpaka leo hana mtoto, may b inawezekana
kuwa hiyo ikawa ni sabbu.
2.Queen Latipha
Msanii
mwingine ni Female Hip Pop Artist, Queen Latipha mwenye miaka 42. yeye
anasema kuwa alibakwa na kijana ambaye alikuwa akimuangalia, kibongo
bongo tunaweza kusema house boy.
Hivi karibuni Queen Latipha alisema kuwa ana mpango wa kuadopt mtoto huku Afrika.
3.Oprah Winfrey
Katika
list ya mastaa wa kike waliowahi kubakwa utotoni mwingine ni mtangazaji
maarufu duniani na muigizaji pia, Oprah Winfrey mwenye takribani miaka
kama 58 hivi yeye alibakwa kama mara 3 hivi.
Oprah.
Mara
ya kwanza alibakwa akiwa na miaka 9 na binamu/cousin wake mwenye umri
wa miaka 19, cousin huyo aliachwa ili amwangalie Oprah, baada ya kumbaka
akaenda kumnunulia Ice cream nakumwambia akae kimya asimwambie mtu, na
akakubali.Baadae akaja kubakwa tena na rafiki wa familia na uncle wake,
na yote akapiga kimya.Akiwa na miaka 13 baada ya kuchoka manyanyaso hayo
Oprah akatoroka nyumbani, na akapata ujauzito akiwa na miaka 14 ambapo
mtoto wake alikufa tu baada ya kuzaliwa.
Vyote hivyo
alisema kuwa ndo sababu ambayo imemfanya mpaka leo asiwe na mtoto na
amesema kuwa ameamua kutokuwa mama kwasababu yeye hakulelewa vizuri.
4.Missy Elliot
Rappa
mwingine wa kike ambaye alifanya vizuri katika gemu Missy Elliot ni
kati ya mastaa ambao waliwahi kubakwa.Missy alibakwa akiwa na mika 8 na
cousin wake mwenye umri wa miaka 16, kila baada ya Missy kutoka shule
binamu yake huyo alikuwa akimfanyia vitendo hivyo, na vitendo hivyo
viliendelea bila kwa muda bila ya yeye kumwambia mtu.
Missy Elliot.
Missy Eliot aliwahi kusema kuwa hana mpango wa kupata mtoto siku za hivi karibuni kwasabbu anaogopa uchungu wa labour.
5.Fantansia Barrino.
Katika
list hii pia yupo mwanadada ambaye alikuwa ni mshindi wa American Idol
mwaka 2004 , Fantansia Barrino.Akiwa high School na miaka 14 Msanii
huyu mwenye umri wa miaka 28 hivi sasa, alibakwa shuleni, kitu amabcho
kilimfanya ajisikie vibaya, coz alichekwa na wenzake na wanaume wengine
wakamwambia kuwa na wao iko siku watafanya hivyo kitendo ambacho
kilimfanya Fantansa aache shule.
Fantansia na mtoto wake wa kike.
Fantansi aliingia mtaani na akiwa na miaka 17 akapata ujauzito, nakupata mtoto wake wa kike.
No comments:
Post a Comment