Wednesday, October 17, 2012

88.5 COUNTRY FM TOP TEN NYANDA ZA JUU KUSINI IRINGA......posted by deejay jona

NAFASI YA KUMI MPAKA NAFASI YA KWANZA
  COUNTRY FM 88.5
  • Nafasi ya 10.....MEDA      NATUMAINI
  •  Nafasi ya   9.....IBRA       MBONA UMENUNA
  • Nafasi ya    8.....PEACE E     SIPO KIIVYO
Hemed Med-c TendegaNafasi ya    7.....ZOLELA   MED C

Nafasi ya    6......ATU    WAZAMANI

Nafasi ya    5....... COLLINS      NILIKUPENDA

Nafasi ya    4.......MECKON      MAUZA UZA

Nafasi ya    3........BETA MAN      SITO KATA TAMAA  
 Nafasi ya     2.......MGC     KAULI

Nafasi ya     1.......DJ NAS    CHAP CHAP


 88.5 COUNTRY FM TOP TEN NYANDA  ZA JUU KUSINI IRINGA


 

                anaitwa nickson sanga aka dj nass ni mtangazaji pia ni mtayarishaji wa hizi chati ambazo huluka moja kwa moja kupitia kituo cha radio cha COUNTRY FM 88.5 iringa tanzania kila siku za jumatano kwenye show iitwayo ngoma za mchana ambayo huanzia mishale ya saa saba na nusu mchana pia jamaa anafanya muziki wa hip hop kafanya truck kibao ikiwemo chap chap ambayo inafanya vizuri kwa sasa kwenye radio na tv kwa kuipata hii truck iitwayo chap chap search google andikaDJ NAS- chap chap utaipata video ya hiyo truck pia audio yake...............posted by deejay jona

No comments: