Thursday, October 4, 2012

MUONEKANO WA VIDEO YA DEEJAY NAS INAYOITWA CHAP CHAP......posted by deejay jona


mtangazaji wa 88.5 country fm pia na muandaaji wa show kibao za radio ikiwemo show iitwayo ngoma za  mchana show hiyo kila siku za juma tano kunakua na segment iitwayo top ten za nyanda ya juu kusini ambapo hizo chati huusisha truck zinazofanya na watoto au wasanii waliopo au wanaofanyia kazi ya muziki na kuutengeneza mkoani apo iringa jina halisi anaitwa nickson sanga a.k.a dj nas pia anafanya vizuli kwa truck yake  iitwayo chapchap,akiongea na deejay jona wa  amesema kuwa amejipanga kwa kuweza kuakikisha anafanya vizuri katika game ili aweze kuuwakilisha mkoa wa iringa katika anga la muziki wa hip hop na kufanya wasanii wa nyumbani kuwa na hadhi kama ilivyokuwa nyuma.Aidha dj nas amefunguka kuwa analaani baadhi ya watangazaji wanao wabania wasanii underground kwa kuto kupiga nyimbo zao amewaasa pia upcoming watoa ngoma za ukweli ili kuepuka kuto kuchezwa truck zao kwenye baadhi ya radio zilizopo mkoani iringa.....posted by deejay jona

No comments: