Wednesday, October 10, 2012

TOP TEN COUNT DOWN WITH DJ NASS ON 88.5 COUNTRY FM IRINGA 10/10/2012

     NAFASI YA KUMI MPAKA NAFASI YA KWANZA
  • Nafasi ya 10.....ANGER TINER   PENZI KIVULI
  •  Nafasi ya   9.....PEACE E    SIPO KIIVYO
  • Nafasi ya    8.....ATU     WAZAMANI
Nafasi ya    7.....MAN KICHEFU    HIMAYA YA MKWAWA

Hemed Med-c TendegaNafasi ya    6......MED C     ZOLELA

Nafasi ya    5.......MGC    KAULI 

Nafasi ya    4.......COLLINS      NILIKUPENDA

Nafasi ya    3........DJ NASS      CHAP CHAP 


  •  Nafasi ya     2.......MECKON      MAUZA UZA
  • Nafasi ya     1.......BETA MAN      SITO KATA TAMAA  


                anaitwa nickson sanga aka dj nass ni mtangazaji pia ni mtayarishaji wa hizi chati ambazo huluka moja kwa moja kupitia kituo cha radio cha COUNTRY FM 88.5 iringa tanzania kila siku za jumatano kwenye show iitwayo ngoma za mchana ambayo huanzia mishale ya saa saba na nusu mchana pia jamaa anafanya muziki wa hip hop kafanya truck kibao ikiwemo chap chap ambayo inafanya vizuri kwa sasa kwenye radio na tv kwa kuipata hii truck iitwayo chap chap search google andikaDJ NAS- chap chap utaipata video ya hiyo truck pia audio yake...............posted by deejay jona                                                                                         

No comments: