Wednesday, November 28, 2012

EXLUSIVE IKIMUHUSU MAREHEM SHARO MILIONEA


Jeneza  lenye  mwili wa Sharo Milionea  likitolewa

                             Umati  wa  waombolezaji  wakiwa nyumbani kwa Sharo Milionea
Shekh akiombea  mwili  wa jeneza  leye mwili wa Sharo Milionea
 Mwili wa Marehemu Sharo Milionea ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele 

 Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea,Mzee Majuto akiwa ameshikwa mkono wakielekea kwenye mazishi mapema mchana huu,Muheza mkoani Tanga.
Mamia ya  wakazi  wa mkoa  wa Tanga pamoja na  wasanii wa  kundi la Bongo Movie   leo  wameshiriki  kikamilifu katika mazishi ya msanii Sharo Milione yaliyofanyika  wilayani Muheza mkoani Tanga  umbali wa takribani kilometa 2 kutoka nyumbani  kwa msanii  huyo huku  vurugu  za hapa na pale  zikitokea  wakati wa kuanga mwili  huo
Wakati  mwili  wa msanii  Sharo Milionea  unaelekea  kuzikwa  hivi sasa  zimeripotiwa vurugu  kubwa  kutokea wakati  wa  mazishi ya msanii  wakati  wa shughuli ya  kuaga mwili  huyo.
Imedaiwa  kuwa   umati  mkubwa  wa  wananchi  wamepata  kujitokeza kwa wingi  kuaga mwili  wa msanii  huyo  huku  baadhi  wakigombea  kuaga mwili  huo ..................posted by deejay jona

No comments: