Monday, December 10, 2012

SCENE YA MWISHO ALIYOCHEZA MAREHEMU SHARO MILLIONEA NA KITALE ...........by deejay jona


Hiki ni kipande kifupi ambacho kipo kwenye movie mpya aliyocheza marehemu Sharo Millionea na swahiba yake Kitale. Ukiangalia scene hii utaona marehemu alikuwa anaendesha gari speed ambapo alikuwa anagombezwa na Kitale kwanini anaendesha gari speed uswahilini, na gari hilo linaloonekana ni gari ambalo marehemu Sharo Millionea alipata nalo ajali akiwa anaelekea Tanga....by deejay jona

No comments: