Friday, February 20, 2015

Exclusive kutoka kwa msanii maky j tokea iringa

NIMERUDI UPYA mwaka jana nimeachia ngoma mbili ndani ya mwezi mmoja moja iliitwa MSELA na ya PILI iliitwa NIELEWE na zote nilifanyia kwa yule yule produser mkali nyanda za juu kusini anaitwa muntu muntu japo hazikufika nilipotarajia ila nashukuru mungu nilipata washauri

wengi ambao walipenda mziki wangu na bado wanauliza kitu kipya natoa lini?? jibu ni kwamba wakae tayari kuna mzigo mpyaaa hatari ambao unamaliziwa studio na produser yule yule mkali muntu mutu kutoka green city mbeya nawapa ahadi mashabiki wangu kua sipo tayari kuacha mwezi wa tatu uishe bila kuachia dude la nguvu ambalo kwa hakika litawaacha midomo wazi ASANTE

No comments: