
Tyga amesema “Sina mahusiano na Kylie Jenner, nataka hilo lijulikane mapema, sijaacha familia yangu ili niwe na Kylie, ni mwaka sasa toka nimeachana na mke wangu Chyna” .
Kuhusu beef lake na Drake Tyga amesema ” sitakaa nionge jambo baya kuhusu Lil Wayne na mambo yangu na Drake hayamuhusu Wezzy, nimeuza zaidi ya kopi milioni kumi au kumi na moja na Young Money, nimeongea na Baby, nilitakiwa kutoka Young Money mwezi uliopita”
Kuhusu kumuita Drake ‘Bitch’, Tyga anasema simkubali kama mtu ,najua muziki wake ni mzuri na yeye ni mkali kama msanii, ni mambo yangu binafsi na yeye, anajidai ni mtu wa kweli kwa njee ila ndani sio mtu wa kweli kabisa, anachezea watu kushoto na kulia”.
No comments:
Post a Comment