
Kufuatia ripoti hiyo Tanzania sasa inaondoka kwenye kundi la aibu ingawa haijawa wazi iwapo mwenendo wa kutembeza bakuli kusaka msaada kutoka nchi tajri duniani litafikia kikomo.
Wakati huo huo ripoti hiyo inakuja huku hali ya kipato cha mtanzania mmoja mmoja ikisalia duni na gharama za maisha zikiendelea kupanda.
No comments:
Post a Comment