Monday, September 10, 2012

MTANGAZAJI ANAEIPA SAPORT BONGO FLEVA .EDDO BASHIRI


Mtangazaji wa kituo cha radio EBONY FM IRINGA.mchizi EDDO BASHIRI nimmoja ya watu ambao wanapenda kusaport mziki wetu wa bongo fleva na kuakikisha unafika mbali zaidi.EDDO pia amejizolea sifa nyingi sana kwakipindi chake anachokifanya cha ONE SIX ambacho kinausisha burudani za IRINGA na nje YA IRINGA  pia.wengi umwita BABA WAWILIIIIIIIIIIII!!!!!posted by deejay jona

No comments: