Albert Mangwea haoni shida kuona wanaume mashoga kwasababu
anaamini wanampunguzia ushindani wa kupata mademu. Lakini anasema tatizo ni kwa
wanawake wasagaji ambao mjini wanaendelea kuwa wengi. Hata hivyo ana plan
kichwani nayo si nyingine zaidi ya kuwatandika mimba wote! Really Ngwair?
Gay brothers nawakubali coz wanatupunguzia competition but yo lesboz punguzeni mzuka la sivyo tunawapa mimba woooote mtulie na kids tunaepa
No comments:
Post a Comment