Saturday, October 20, 2012

Updates: Waliyoandika mastaa kuhusiana na vurugu za Dar


Polisi wakipita maeneo ya Mtambani-Kinondoni kuzuia maandamano ya jana
Kwa zaidi ya saa nne mada kwenye mitandao ya kijamii kuanzia mchana ilikuwa ni hali ya vurugu iliyokuwa ikiendelea katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam baada ya waislam kufanya maandamano katika maeneo hayo. Vurugu kubwa zimetokea katika maeneo ya Kariakoo, Magomeni, Mtambani – Kinondoni na kwingine. Polisi wametumia mabomu kuwatawanja waandamanaji hao na saa hali sasa ni shwari.



Magari ya wanajeshi yakizunguka maeneo ya Kariakoo
Haya ni baadhi ya maoni ya watu maarufu nchini kuhusiana na vurugu hizo.
ESTHER WASIRA
Mwalimu Nyerere must be MOURNING in his grave! Nani ameharibu Amani ya nchi yetu!! Leo ‘Bandari ya Salama’ ndio huu uwanja wa damu???!!! Tunachinjana kama wanyama!! Oh Mwalimu,ndio haya uliyotuelekeza!? Nani alaumiwe?? Hii dhamana ni ya nani?? Oh Heavenly Father,pour out your wrath on all who destroy our long-lived Peace!!
Maria Sarungi-Tsehai
Inabidi sote tutake amani na tuhakikisha tunakuwa na amani. Mi naamini watanzania tulio wengi tunapenda amani ila tatizo kuna presha nyingi za kisiasa, kiuchumi na kijamii kutupotosha. Tusimame pamoja.
Lady JayDee
Kumbe Tanzania kuna udini?
Soggy Doggy
TANZANIA…SHETANI GANI TENA HILI LIMETUKUMBA??????

Deejay-jona Jonathan Mgendera                                                              hii ndo tanzaniaaaaaaaaaaaaa

GODZILLA
“We must learn to live together asbrothers, or we are going to perish together as fools.”
Albino Fulani
Hivi unafikiri JK angesimama akasema, “Waislam mnaoleta fujo,mimi siko na nyinyi” fujo zingeendelea?They know what house they are knocking!

No comments: