
jukwaa moja wa wasanii wakongwe, Sow hii imepewa jina la Mtikisiko ambayo kwa msimu huu
imeanza na Makambako Then kesho siku ya Jmos Tarehe 1 Show hii inafanyika jijini Mbeya, akipiga story na mtandao huu wa Djjonamusic Blog Dj nas amesema tayari yupo jijini mbeya kwaajili ya kuweka mambo sawa

No comments:
Post a Comment