Katika mahojiano aliyoyafanya na kituo cha BBC amekana madai hayo na kusema malumbano yanayoendelea ndani ya Bunge hilo yanatokana na siasa za chuki baina ya Wabunge na kusababisha Bunge hilo kutimiza majukumu yake.
Uchunguzi unafanyika ili kujua kama madai yaliyopelekea kumsimamisha yalikuwa na ukweli wowote.
No comments:
Post a Comment