Friday, November 28, 2014

Tupogo RMX ya Ommy Dimpoz kuachiwa leo rasmi, Tizama kionjo chake hapa

Ni time nyingine tena, mkali Omary Faraji Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz anarudi kwenye headlines, story zimeenea kwamba jamaa anaachia video yake siku ya leo , lakini unajua mambo mawili ambayo nataka nikufahamishe leo.
.
Kwanza ni kwamba tumeona mastaa wengi Bongo na East Africa kwa ujumla wanapaa na kwenda kufanya video kali nje ya nchi, lakini Ommy kaifanya hii hapahapa Tz ambapo Director Adam Juma amehusika kwa 100% kuifanikisha.

Pili ni kwamba najua umeona picha nyingi sana mtandaoni, kutokana na love yangu kwako mtu wa nguvu nimekuwekea kionjo cha video yake hapa, unaweza kuicheki na kuacha comment yako, unadhani kwa ujio huu Ommy Dimpoz ataendelea kufanya vizuri zaidi kwenye vituo vya TV vya kimataifa kupitia video hii.

No comments: