Taarifa kutoka mahakamani kwenye upande wa Jamhuri zinasema upande huo umeomba kesi ya msanii huyo ipelekwe mpaka December 1 2014 mpaka upelelezi ukamilike.
November 10 2014 Chidi Benz aliandika kwenye page yake ya twitter >>> ‘Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkasi Kisutu, niombeeni kheri koz najua wapo wanaohitaji bado. #vitu mbalimbali‘
No comments:
Post a Comment