
Eddo Bashir kulia mwa picha juu
kwenye shoo ya Mtikisiko inayofanyika leo mkoani Iringa katika viwanja vya Samora, Eddo Bashir alitoa onyo hiyo katika page yake ya facebook siku ya jana ambapo baada ya Eddo kuandika vile na Msanii Najo Mkali akaandika kupitia ukurasa wake wa facebook hayo apo chini

Najo Mkali
Wee mpiga kelele uctafute jina kwangu ka ulivyonipa onyo kwa page yako so Vunga 2
JION NJEMA
#NAUDAI_MUZIKI
mr SILALI
No comments:
Post a Comment