Saturday, November 22, 2014

Ushindani kati ya Ebony fm na Nuru fm katika upande wa Intertainment upo?

Leo ndo ile siku ambayo inajengwa historia katika mkoa wa Iringa kwa kumshusha Diamond Platnumz isitoshe ndo mara ya kwanza kupiga show baada ya kutoa single yake mpya inayoitwa Nitampata wapi katika Steji za Mtikisiko2014 ndani ya Samora Stadium Iringa show hii imeandaliwa na Ebony fm,

Siku ya tarehe 26 jumatano kutakua na bonge moja la show katika Club kubwa mkoani iringa inaitwa Club V.I.P kituo cha redio cha Nuru fm kinamdondosha msanii tokea Dar es salaam Mr Blue ambaye siku mbili zilizopita ameachia kichupa cha wimbo wake wa pesa, Hapa inaonesha kama
kunaushindani kuhusiana na burudani kwa kuwaleta hawa wasanii ambao wapo katika Headlines hapa Tanzania katika Media tofauti

No comments: