Wasanii hao walikuwa nchini humo kushoot reality TV show inayotarajiwa kuwa gumzo. Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Star, kuwa ni show ya channel ya Maisha Magic.
Chanzo hicho kimesema gharama za utayarishaji wa show hiyo inaweza kufikia shilingi za Kenya milioni 100 hadi 200. Kilisema wasanii hao watakuwa wamelipwa ujira mnono.
Kama tulivyoandika awali, show hiyo inaweza kuwa ni ile ya kusaka vipaji iitwayo Maisha Superstar.
No comments:
Post a Comment