Tuesday, November 18, 2014

List ya wasanii watakao share steji moja na Diamond Platnumz kwenye Mtikisiko 2014 Nov 22 viwanja vya Samora Iringa

Ile show ambayo inasemekana ni show kubwa hapa Tanzania baada ya Fiesta, Hii show huzunguka kila mkoa ambao redio Ebony fm inasikika na mkoa wa mwisho huwa ni Iringa yenyewe ambapo

redio Ebony fm huanzia masafa yake   na show uaga ni kubwa zaidi ya mikoa mingineyo na huletwa mastaa wakubwa katika tasnia ya muziki hapa tanzania pia huwa ni neema kwa wasanii waliopo mkoani iringa kwa kupata nafasi ya ku share steji moja na wasanii wakubwa hapa nchini ambapo kwa mwaka huu anadondoshwa Diamond Platnumz.


Linex
Izzo b
Khadija kopa
Tid
Matonya
Steve wa r&b
Kala jeremia
Rachel 
Meckon
In africa band 
Ange Taina
Nemy mc
Meda mack boy
 Ammy
chiba
 lily stiga
Jovick cliff
Bob rudala
Jerry wa ryhmes
 hining star
 De gozby
 Daz jeff
 Bizman
 Nyamidela
Ob msigwa
 Alex a.k.a twiz
Attu 
Man kichefu 

No comments: