Akizungumza na tovuti ya Times fm fellah amesema kua anafurahi kuona kua kundi la Yamoto Band limerudisha ladha na ushindani wa muziki wa band nchini na kusema kua inampa moyo kuona kitu alichokisimamia kikikleya faida kwa jamii ya wanazmuziki
“Kama tumefanya kitu na watu wengi wamekipokea na wengine wakaona kama itawapatia nusura kwa kupitia idea hyo nawakaribisha tushindane “ amesema Fellah
fellah amesema pia kua wanaendelea kujiandaa kutoa nyimbo nyingi na nzuri zaidi li kudhihirisha ni kwa jinisi walijipanga
Yamot Band wanatarajia kuachia nyimbo mpya mapema mwaka ujao
No comments:
Post a Comment