Msemaji wa kampuni ya Weusi Nikki Wa Pili Alitoa ujumbe Instagram "Ela sio kila kitu.. We all raping for respect...Tunapenda kuwatangazia ma fansi wetu wa Mbeya kuwa funga mwaka la Weusi...limehirishwa kutokana na kifo cha mwana Hiphop mwenzetu..R.I.P Geez Mabovu "
No comments:
Post a Comment