alikua mtangazaji wa kituo cha radio cha Country fm mkoani iringa vilevile alikua ni mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva ususani muziki wa nyanda za juu kusini, Ikiwa leo ni tarehe na mwezi ambao ndo jamaa alitutoka dunia katika hospitali ya manispaa ya iringa kwa kuumwa kwa muda mrefu ugonjwa wa maralia, Mwili wake ulipumzishwa katika makaburi yaliyopo mlolo magereza mkoani iringa R.P.P ZAMOYONI NGEDE

picha juu kulia zamoyoni enzi za uhai wake

picha juu jinsi ilivyokua katika mzishi ya zange
No comments:
Post a Comment