Friday, November 7, 2014

Wyclef Jean kutumbuiza jukwaa moja na Shaa, Chidinma kwenye finale za Coke Studio, Kenya Jumamosi hii

Member wa kundi la miaka ya 90 Fugees, Wyclef Jean anatarajiwa kuwa nchini Kenya weekend hii, ambapo atatumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wengine wa Africa akiwemo Shaa kutoka Tanzania, katika fainali za msimu wa pili wa Coke Studio Africa.
wyclef2
Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza kwenye fainali hizo ni pamoja na Chidinma wa Nigeria, Navio wa Uganda, Rabbit wa Kenya na Neyma wa Msumbiji.

No comments: