Tuesday, December 2, 2014

Wiz Khalifa Anataka #KuBreakTheInternet Na Picha Akiwa Bafuni.

Toka ametengana na mke wake Rapper Wiz Khalifa amekuwa akifanya mambo ya ajabu kwenye mitandao kama kubadilisha rangi ya  nywele zake na sasa amepiga picha akiwa mtupu. Wenyewe wanasema ni kuBreak The Internat kama alivyofanya Kim Kardashian kwenye jarida la  Paper.
Wiz-Khalifa

Wiz-Khalifa-naked
Credit:Sammissago.com

No comments: