Msanii wa Nchini Humo K CEE ndiye Aliyempokea Katika Uwanja wa Ndege.Wawili Hao Huenda Wakafanya Video ya Kazi Yao Mpya #LoveBoat na pia akiwa Huko Diamond Platnumz ataendelea Kupromote Kazi Yake Mpya #Nana
ambaye amemshirikisha Msanii wa Nchini Humo Mr Flavour. Diamond ni
miongoni mwa wasanii wanaojituma Sana Afrika Mashariki na ni hivi majuzi
tu amekuwa nchini Afrika Kusini Kupromote kazi yake mpya na pia Kufanya
Kazi na msanii wa huko DONALD.
Tuesday, June 30, 2015
Diamond Platnumz Atua Nigeria Kuipa promo Heat yake ya Nana,
Msanii wa Nchini Humo K CEE ndiye Aliyempokea Katika Uwanja wa Ndege.Wawili Hao Huenda Wakafanya Video ya Kazi Yao Mpya #LoveBoat na pia akiwa Huko Diamond Platnumz ataendelea Kupromote Kazi Yake Mpya #Nana
ambaye amemshirikisha Msanii wa Nchini Humo Mr Flavour. Diamond ni
miongoni mwa wasanii wanaojituma Sana Afrika Mashariki na ni hivi majuzi
tu amekuwa nchini Afrika Kusini Kupromote kazi yake mpya na pia Kufanya
Kazi na msanii wa huko DONALD.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment