Sunday, June 28, 2015
Faiza: Najuta kuvaa nguo iliyoniacha maungo wazi >>>>>>>
Mwanadada Faiza Ally, amekiri kujutia uamuzi wake wa kuvaa nguo ya nusu utupu na kuacha maungo yake wazi kwenye Tuzo za Kilimanjaro akiwa na nia ya kuwa tofauti na watu wengine jambo lililopelekea kupokonywa mtoto wake na mzazi mwenzake ambaye ni Mbunge Joseph Mbilinyi. Amedai kuwa kamwe hawezi kurudia kosa na kusema kuwa atakuwa makini sana katika mavazi yake na kusema kuwa alibuni vazi lile akiwa na nia ya kuonekana tofauti lakini alijikuta akiumbuka baada ya kuwa kivutio kwa mashabiki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment