Tuesday, June 9, 2015

GOOD NEWS: Afya Ya Mke wa Mabeste, Lisa yaanza kuimarika

Afya ya mke wa rapper mkali wa Bongo Flava Mabesste, Lisa Karl Fickenscher imeanza kuimarika kutokana na hivi karibuni kuwa mbaya. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mabeste ameamua kutoa  https://igcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t51.2885-15/11378741_1654579184774945_227325711_n.jpgtaarifa za maendeleo ya mke wake: Aje u good? Hey Maendeleo ya Lisa Lisa Karl Fickenscher OR My Wife kiafya Anaendelea vizuri Namshukuru saaana MUNGU pili na kushukuru wewe pia thanks saana Weekend njema.” Pia Mabeste aliweka picha nyingine akitoka shamba na mke wake na kuandika: Ndio twatoka shamban sahii Mungu endelea kubariki My family.” Lisa anasumbuliwa na tatizo la moyo.

No comments: